MAGUFULI AZINDUA KIWANDA CHA CHAI NJOMBE.
Rais wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Magufuli akiwa ameshika
majani ikiwa ni hatua ya awali ya kutengeneza majani ya Chai, alipotembelea
katika kiwanda cha chai cha Kabambe kilichopo Lwangu Mjini Njombe
kinachomilikiwa na kampuni ya Unilever mara baada ya kukifungua kiwanda hicho .
Dkt. Magufuli akikagua mitambo ya
kutengeneza majani ya Chai, alipotembelea katika kiwanda cha chai cha Kabambe
kilichopo Lwangu Mjini Njombe kinachomilikiwa na kampuni ya Unilever mara baada
ya kukifungua kiwanda hicho.
Dkt. Magufuli akiangalia hatua za
kutengeneza majani ya Chai katika mitambo, alipotembelea katika kiwanda cha
chai cha Kabambe kilichopo Lwangu Mjini Njombe kinachomilikiwa na kampuni ya
Unilever mara baada ya kukifungua kiwanda hicho.
Dkt. Magufuli akikagua
kiwanda cha majani ya chai cha Kabambe kilichopo Lwangu Mjini Njombe
kinachomilikiwa na kampuni ya Unilever mara baada ya kukifungua kiwanda hicho.
Dkt. Magufuli akizungumza na
wananchi waliojitokeza katika kiwanda cha majani ya chai cha Kabambe kilichopo
Lwangu Mjini Njombe kinachomilikiwa na kampuni ya Unilever mara baada ya
kukifungua kiwanda hicho.
Dkt. Magufuli akisalimiana na
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Joseph Kakunda mara baada ya kuwasili katika
kiwanda cha majani ya chai cha Kabambe kilichopo Lwangu Mjini Njombe
kinachomilikiwa na kampuni ya Unilever .
Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ole Sendeka
mara baada ya kuwasili katika kiwanda cha majani ya chai cha Kabambe
kilichopo Lwangu Mjini Njombe kinachomilikiwa na kampuni ya Unilever .Ambapo Rais yupo mkoani Njombe kwa Ziara ya Siku tatu.
Dkt. Magufuli akisalimiana na
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Makinda mara baada ya kuwasili katika kiwanda cha
majani ya chai cha Kabambe kilichopo Lwangu Mjini Mjombe kinachomilikiwa na
kampuni ya Unilever .Ambapo Mhe. Rais yupo mkoani Njombe kwa Ziara ya Siku
tatu.
Dkt. Magufuli akizindua rasmi
kiwanda cha majani ya chai cha Kabambe kilichopo Lwangu Mjini Mjombe
kinachomilikiwa na kampuni ya Unilever.
Dkt. Magufuli akizungumza na Mwekezaji wa kiwanda cha chai cha Kabambe Sir
Ian Wood kutoka Wood Foundation mara baada ya kufua rasmi kiwanda cha majani ya
chai cha Kabambe kilichopo Lwangu Mjini Mjombe kinachomilikiwa na kampuni ya
Unilever
PICHA NA IKULU
No comments