MATUKIO YALIYO MUHUSU WAZIRI MKUU LEOI.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akijibu swali, katika kipindi cha maswali na majibu, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 25, 2019.
Majaliwa, akisalimiana na Balozi wa
Kenya nchini, Dan Kazungu, ofisini kwake Bungeni jijini Dodoma, Aprili 25,
2019.
Majaliwa, akizungumza na Balozi wa
Kenya nchini, Dan Kazungu, ofisini kwake Bungeni jijini Dodoma, Aprili 25,
2019.
Majaliwa, akisalimiana na Balozi wa
Kuwait nchini, Mubarak Alsehaijan, ofisini kwake Bungeni jijini Dodoma, Aprili
25, 2019.
Majaliwa, akizungumza na Balozi wa
Kuwait nchini, Mubarak Alsehaijan, ofisini kwake Bungeni jijini Dodoma, Aprili
25, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
No comments