WAZIRI MKUU AZINDUA MFUMO WA UENDESHAJI BUNGE KIDIGITALI.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizindua mfumo wa
uendeshaji Bunge kidigitali, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni jijini Dodoma,
Septemba 12.2019.
Majaliwa akiwa na Spika wa Bunge la Tanzania, Job
Ndugai (kulia) wakiangalia mfumo wa uendeshaji Bunge kidigitali, baada ya
kuzinduliwa, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 12.2019.
Majaliwa, akizungumza na Wabunge, kwenye uzinduzi wa
mfumo wa uendeshaji Bunge kidigitali, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 12.2019.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, akizungumza na
Wabunge, baada ya uzinduzi wa mfumo wa uendeshaji Bunge kidigitali, Bungeni jijini
Dodoma, Septemba 12.2019. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
No comments