Breaking News

UNCEF, WAKUTANA NA WADAU KULINDA WATOTO DHIDI YA UKUAJI MIJINI.


Mkuu wa Idara ya Utafiti Mkakati na Machapisho kutoka ESRF, Profesa Fortunata Makene, akiwasilisha mada wakati wa warsha hiyo ya kujadili namna ya kutatua changamoto za watoto na vijana katika majiji na miji, warsha iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 11 Septemba 2019.

 
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Watoto kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Mwajuma Magwiza, akiongea wakati akifungua  warsha hiyo ya kujadili namna ya kutatua changamoto za watoto na vijana katika majiji na miji, warsha iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 11 Septemba 2019.

 
Mkuu wa Sera za Hifadhi za kutoka  UNICEF, Dkt, Paul Quarles Van Ufford, akiwasilisha maada wakati wa warsha hiyo ya kujadili namna ya kutatua changamoto za watoto na vijana katika majiji na miji, warsha iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 11 Septemba 2019.

 
Mtaalam wa Ufatiliaji na Tathmini kutoka UNCEF, Vu Manh Hong, akiwasilisha mada wakati wa warsha hiyo ya kujadili namna ya kutatua changamoto za watoto na vijana katika majiji na miji, warsha iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 11 Septemba 2019.

 
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria warsha hiyo wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa warsha hiyo ya kujadili namna ya kutatua changamoto za watoto mtoto na vijana katika majiji na miji, warsha iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 11 Septemba 2019.

 
Meza kuu wakifuatilia mawasilisho mada wakati wa warsha hiyo ya kujadili namna ya kutatua changamoto za watoto katika majiji na miji, warsha iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 11 Septemba 2019.

 
Mchumi Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango ambaye pia ni Mwenyekiti wa Maabara ya Ukuaji wa Miji Tanzania (TULab) Dkt. Lorah Madete, akiwasilisha mada wakati warsha hiyo ya kujadili namna ya kutatua changamoto za watoto na vijana katika majiji na miji, warsha iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 11 Septemba 2019.


No comments