RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA SHELUI, IGUNGA NA NZEGA MKOANI TABORA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Nzega mjini (hawaonekani pichani) Mkoani Tabora wakati akielekea Isaka mkoani Shinyanga.
Wananchi wa Shelui
wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Dkt. John Pombe Magufuli kusimama katika eneo hilo. PICHA NA IKULU
No comments