RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Dodoma mara baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma katika eneo la Nzuguni leo tarehe 22/11/2019 jijini Dodoma. Miradi mingine ambayo Rais Mgaufuli ameweka jiwe la Msingi ni mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Uhuru Chamwino, Ujenzi wa Soko la Kisasa , Nyumba za Askari Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha Mke wake, Mama Janeth Magufuli mbele ya wananchi wa Dodoma alipokuwa na akizungumza na wakazi wa Dodoma mara baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma katika eneo la Nzuguni leo tarehe 22/11/2019 jijini Dodoma
Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR –TAMISEMI), Mhe. Selemani
Jafo akizungumza wakati wa hafla ya Uwekaji jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi
wa Kituo Kikuu cha Mabasi katika eneo la Nzuguni jijini Dodoma leo tarehe
22/11/2019.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge akielezea nyaraka ambazo wamekusanya kwa ajili ya utatuzi wa migogoro ya ardhi wakati wa hafla ya Uwekaji jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi katika eneo la Nzuguni jijini Dodoma leo tarehe 22/11/2019. Nyaraka hizo alimkabidhi Mhe. Rais Magufuli ili iwe rejea atakapo kutana nakatika jiji la Dodoma. changamoto na malalamiko kuhusiana na migogoro ya ardhi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. John Pombe Magufuli akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge wakati wa hafla ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma katika eneo la Nzuguni leo tarehe 22/11/2019 jijini Dodoma
No comments